• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI YATOA HATI MILIKI ZA ARDHI ZA KIMILA 360 BURE KWA WANANCHI WA KIJIJI CHA MPINGA WILAYA YA BAHI.

Imechapishwa: March 10th, 2025

Katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Mpinga, kata ya Mpinga, tarafa ya Bahi Wilaya ya Bah limefanyika zoezi la utoaji wa hati Miliki za Kimila 360 bure kwa Wananchi, zoezi hilo limeongozwa na Mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi Mhe. Joachim Thobias Nyingo akishirikiana na Wataalamu wa Ardhi kutoka Tume ya Taifa ya Upimaji Ardhi, ikiongozwa na Bi. Susana B. Mapunda.


Mhe. Mkuu wa Wilaya amewaasa wananchi na viongozi wote waliokabidhiwa Hati, kuzitunza sehemu salama, pia kuzitumia vema kama mtaji kujiletea Maendeleo yao. Wajihadhali na matapeli watao jaribu kwenda kuwarubuni.Wazitumie ofisi za Serikali ngazi ya kijiji, kata na Wilaya kupata Ushauri pale watakapoona inafaa ili wasiibiwe.


Aidha, zoezi hilo limehudhuliwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Comrade Masima, Mhe. Mbunge wa jimbo la Bahi Mhe. Keneth Nollo na Diwani wa kata ya Mpinga Mhe. Kudagana Ndalu.

Mkutano wa hadhara ulihudhuriwa na timu ya wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Bahi na kutoka ofisi ya Mhe. Mkuu wa Wilaya pia aliambatana na Bi. Mwanamvua Bakar (Katibu Tawala wa Wilaya) na Bi. Zaina Mlawa, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi.


Kupitia zoezi hilo Wananchi wa kijiji Cha Mpinga kwa furaha, Wameishukuru sana Serikali kwa kuendelea kuwajali, Wamemshukuru sana Dr. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Upendo wake katika kulifanikisha Zoezi la ugawaji Hati za Kimila, wanamuombea Afya Njema na wanamuahidi Mitano Tena.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA MFUPI HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI August 23, 2025
  • TANGAZO LA MWITO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO TAREHE 24/10/2025 October 24, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI ATANGAZA MIKOPO AWAMU YA NNE(4) KIASI CHA TSH.301,772,500/= October 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA NAFASI ZA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI October 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI YAFANYA KIKAO CHA KUJADILI UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE JULAI-SEPTEMBA 2025.

    November 06, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA UCHAGUZI MKUU MWAKA 202

    October 26, 2025
  • MAFUNZO YA MAKARANI WA VITUO VYA UCHAGUZI

    October 25, 2025
  • KAMATI YA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI NGAZI YA WILAYA KWENYE UKAGUZI WA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WALEMAVU.

    October 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • BAHI YOUTUBE CHANNELE
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • SILVAWIN
  • YAMITOTO
  • Slot Gacor
  • Situs Toto Slot