IDARA YA MAENDELEO YA JAMII
2.0 MUUNDO WA IDARA
Idara huongozwa na mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii na Vijana. Katika
Idara kuna madawati sita (6) ambayo yamegawanyika kiutendaji, madawati hayo yana
wakuu wake ambao kwa ujumla wake humsaidia mkuu wa Idara kiutendaji.Madawati hayo ni:-
1.Dawati la uratibu wa Ushirikishwaji wa Jamii
2.Dawati la uratibu wa Uwezeshaji wananchi na kupunguza umaskini
3.Dawati la uratibu wa Maendeleo ya watoto.
4. Dawati la uratibu wa masuala mtambuka
5. Dawati la uratibu wa Maendeleo ya jinsia
6. Dawati la uratibu wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali.
i). Dawati la uratibu wa Ushirikishwaji wa Jamii.
ii). Dawati la uratibu wa Uwezeshaji wananchi na kupunguza umaskini
iii). Dawati la uratibu wa Maendeleo ya watoto
Dawati hili kwa ujumla litahusika na kusimamia,kuratibu utekelezaji wa haki,utoaji wa elimuya malezi katika ngazi ya familia na maendeleo ya ujumla kwa mtotoikiwemo kuratibu ukusanyaji,uhuhishaji,uchambuzi na usambazaji wa takwimu zinazo wahusu watoto.Hivyo majukumu ya msingi ni:-
iv). Dawati la uratibu wa masuala mtambuka
v). Dawati la uratibu wa Maendeleo ya jinsia
vi). Dawati la uratibu wa mashirika yasiyo ya kiserikali
3.0 MAJUKUMU YA JUMLA YA WATALAMU WA MAENDELEO YA JAMII
Bofya hapa kupata zaidi Taarifa ya Idara ya Maendeleo ya Jamii.pdf
Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
Anuani: S.L.P 2993 DODOMA
Simu: +255 755 352 875
Simu: +255 689 571 881
Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa