• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kazi na Moto

Wilaya ina mtandao wa barabara zenye urefu wa km 704.6, kati ya hizo barabara za vijiji ni km 401.5, barabara za Wilaya ni km 279.5 na barabara za mjini km.23.6. Katika kipindi cha 2015/2016, km 90.23 zimefanyiwa matengenezo ambazo ni sawa na 14% ya barabara zilizohitaji matengenezo, mistari ya makalavati 36 yamejengwa na madaraja 4 yamejengwa. Vilevile ujenzi wa madaraja 2 makubwa kupitia mpango wa kuondoa vikwazo (Improving Rural Access in Tanzania) unaofadhiliwa na serikali ya Uingereza unaendelea.

Wilaya ina njia ya reli yenye urefu wa km30.2, mtandao wa barabara za Mkoa km 45, barabara kuu km 40 na mtandao wa mawasiliano ya simu na radio.  Kwa sasa Wilaya inaendelea na mpango wake wa kufungua barabara mpya za vijiji kwa lengo la kuunganisha na Makao Makuu ya Wilaya. Pia Wilaya imeanza kutekeleza mpango wake wa kujenga barabara za lami Makao Makuu ya Wilaya kwa kuanza barabara ya Km. 0.9.

USAMBAZAJI UMEME VIJIJI:

Wilaya ya Bahi ina vijiji vinne (4) vyenye mtandao wa umeme kati ya vijiji 59 vilivyomo katika wilaya ambavyo ni Bahi Sokoni, Ibihwa, Ibugule na Mundemu.

Katika mwaka wa fedha 2015/2016 vijiji vingine vitatu (3) vya Mpamantwa, Nkhome na Mtitaa vimepatiwa umeme na mkandarasi wa DEM CONSTRUCTION ENG. LTD. ambaye alishinda tenda ya kusambaza umeme katika vijiji hivyo kupitia mpango wa REA.

Aidha, Vijiji vingine (8) vitawekewa umeme wa REA vikienda sanjari na ujenzi wa msongo wa KV 400 wa njia kuu itokayo Iringa kwenda Shinyanga. Vijiji hivyo ni Mwitikira, Chibelela, Mzogole, Nghulugano, Mnkola, Uhelela, Bahi Makulu na Kigwe.

Mpango wa REA umesaidia umeme jua kuwekwa kwenye majengo ya Taasisi nane (8) ambazo ni Chonama Sekondari, Zahanati ya Makanda, Babayu Sekondari, Zahanati ya Babayu, Chikopelo Sekondari, Zahanati ya Zejele, Zahanati ya Nghulugano na Magaga Sekondari.

Matangazo

  • Tangazo la Kikao Maalum cha Baraza la Madiwani Kujadili Mpango na Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi kwa mwaka wa fedha 2021/2022 February 10, 2021
  • Tangazo la Kikao cha Baraza la Madiwani January 27, 2021
  • Tangazo la Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Wilaya ya Bahi December 18, 2020
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi za Kazi za Mtendaji wa Kijiji Daraja la III November 02, 2020
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mabati 780 Yanunuliwa, Mfuko wa Jimbo

    February 12, 2021
  • Baraza la Madiwani Lapitisha Bajeti ya Shilingi Bilioni 25

    February 12, 2021
  • Watakaonunua Ardhi, Wenye Leseni za Madini Ujenzi Kuchangia Elimu

    January 29, 2021
  • Mfuko wa Jimbo Kusaidia Ujenzi wa Madarasa, Zahanati

    January 28, 2021
  • Tazama Zote

Video

RC MAHENGE AZITAKA HALMASHAURI ZA JIJI LA DODOMA KUAINISHA FURSA ZA UWEKEZAJI.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma
  • Tovuti ya Ikulu

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 26 2961400

    Simu: +255 766 643 266

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa